-
Kipimo Sahihi cha Tabia ya Mtu
Kuna wakati maisha pale mtu anapobanwa sana, mambo yakipamba moto kabisa. Wakati anajisikia kwamba kuna ukosefu wa maji ya uzima Yesu aliyoahidi. Sehemu kama hiyo, kumbe inaweza ...
-
Ukristo wa Starehe
Acha nithubutu kukwambia kwamba hakuna “Ukristo wa starehe”. Yaani, “Ukristo” na “starehe” ni maneno mawili yasiyoendana. Kama wewe ...
- Enjoying The Content? For the price of a cup of coffee each month, you can enable Christianityworks to reach 10,000+ people with a message about the love of Jesus!
-
Je!, Mtu Anaweza Kujua Kweli Kweli?
Wakati unakosea – namaanisha unapokosea san asana, – unaweza kuamini kwamba Mungu atakusamehe kweli?. ni jambo gumu kupokea msamaha huo; yaani kujisamehe mwenyewe. Juzi ...
-
Alilipa Deni Langu
Viwango vya riba huwa vinapanda na kushuka, kiwango kikiwa juu inakuwa vigumu kwa waliochukua mkopo na wana madeni kuweza kulipa. Na ni huzuni kwasababu kuna wengine ...
-
Kupekua Maandiko
Niliona kikombe cha kunywea chai au kahawa kikiuzwa mtandaoni kikiwa na maandishi mazuri sana, Kusema ukweli nilitamani kukinunua! Labda ni utani unaohuzunisha kwasababu leo kuna ...
-
Kuwa na Moyo wa Uchunguzi
Hivi, umewahi kujaribu kuondokana na hali ya kufuata utaratibu ule ule siku zote bila kubadili wala kufikiria? Wanasema kwamba alama za magurudumu ya magari katika tope ni kama ...
-
Kukubali Neno la Mungu Kama Lilivyo … au La
Kwa mtazamo wa haraka-haraka, ni kama kuna vipengele vingi ndani ya Neno la Mungu ambavyo vinaonekana vinaenda kinyume na dhana za kisasa. Ikitokea hivyo, basi inabidi ...
-
Nadharia Yahusuyo Mkokoteni
Labda utafikiri kwamba nimechanganyikiwa lakini mimi naona kama swala la kurudhisha mkokoteni mdogo ni mtihani unaompima mtu kuona kama anaweza kufanya yaliyo haki. Kwasababu kama ...
-
Upevu wa Kweli
Sijui ukoje, lakini mimi sipendi kuona watu wanaumizana. Kuna wakati wanafanya makusudi, kuna wakati si kwa makusudi, Lakini kwa vyovyote vile, sisi binadamu huwa kuna ...
-
Ninavyofikiri Mimi
Kila mtu ana maoni yake kuhusu mambo mengi tu. Kuhusu yaliyo mema na mabaya, kuhusu siasa, kuhusu watu mashuhuri. Tuna maoni ya kukosoa wake zetu, waume zetu, majirani zetu. ...
-
Mbeleni Kuna Siku za Furaha
Kumbe!, Imeshakuwa Jumapili na ninatumaini kwamba tumetenga muda wa kumwabudu Mungu na kupumzika pia, jambo linalohitajika kwa mwanadamu. Halafu Jumapili hii, ninawiwa ...
-
Ikiwa Unaamini, Basi …
Sijui kama ninaweza kukuuliza juu ya yale yaliyotokea wiki hii tunayoimalizia, je! Ni mawazo gani niliyokuwa nayo, ni maneno gani niliyoyatamka, ni mambo gani niliyoyafanya ambayo ...
-
Kurejea Habari za Ayubu
Ni rahisi kuwa na matumaini ya siku zijazo pale mambo yote yanapokuwa shwari. Lakini pale mamno yanapokwenda tofauti mtu anaweza kukatishwa tamaa na kufa moyo. Na hali hiyo ni ...
-
Una Matumaini Kiasi Gani?
Hivi, utaniruhusu nikuombe utulie dakika moja na kutathmini namna unavyojisikia sasa hivi; yaani hali ya hisia zako. acha nikuulize tena, Je!, Unatumaini kiasi gani … yaani ...
-
Sichangamki, Wala Sifurahii, Nipo Nipo Tu
Kuna siku umaamka na huchangamki. Hata mimi pia huwa ninaamka hivyo. Tunafahamu kwamba yatupasa kujaa furaha ya Bwana, lakini … hatuchangamki. Sasa itakuaje? ...
-
Kupanua Upeo wa Macho Yako
Unapomfanya mtu kosa ambalo linaweza kusababisha ubebe matokeo mabaya lakini mtu akaamua kukusitiri, unajisikiaje hapo!? Ni swali linalovutia, si kweli? Tunafahamu adhabu ...
-
Bahili au Mkarimu?
Wengi wetu hatujioni kuwa matajiri. Inategemeana na mazingira yako, lakini inawezekana unajiona kuwa mtu wa kawadia, sio maskini lakini pia … si tajiri. Lakini ...
-
Ndani ya Meli ya Titanic
Labda umeshasikia habari za meli iitwayo Titanic. Wakati inatengenezwa zamani na kuingizwa majini tarehe 10 mwezi Aprili, 1912 watu walidai kwamba haiwezi kuzama; tena ...
-
Ni Nani Atakayekwenda Mlangoni Kuangalia ni nani Anayebisha Hodi?
Kuna siku nguvu za Shetani zinazokushawishi kwenda njia isiyofaa zinakuwa kama kubwa kuliko uwezo wako wa kumpinga hata kuliko uwezo wa Mungu kumzuia. Ndivyo inavyokuwa. Mvutano ...
-
Kutilia Mashaka Neno la Mungu
Siku hizi ni rahisi sana kushawishika na kuanza kutilia mashaka Neno la Mungu; kufuta mistari inayotukera na kutusumbua ndani ya Biblia ili iweze kupendeza zaidi na kwenda ...
-
Unamfuata Nani?
Ni lini tuliamua kwamba hisia zetu zikichanganywa na maadili yanayooza ya dunia hii ndivyo tutakavyoweza kusadikisha au kubatilisha ukweli wa Neno la Mungu? Hii imetokeaje? ...
- Enjoying The Content? For the price of a cup of coffee each month, you can enable Christianityworks to reach 10,000+ people with a message about the love of Jesus!
-
Mahali Unapokimbilia Mara Moja
Jaribu kufikiri kwamba, uko ndani ya mtumbwi halafu dhoruba inakuja ghafla. Upepo mkali unavuma, mawingu yanajikusanya, mawimbi yanaanza kuyumbisha mtumbwi wako … ...
-
Usijichoshe Kupita Kiasi
Inaonekana kwamba njia ya kupiga hatua katika maisha ni kuvutia watu, yaani kuwashawishi kwa uzuri wetu na akili zetu. Ndio maana mara nyingi wanasema mtu “amejivika na ...
-
Si Kujitupa Gizani
Kwa yule aliye nje ya imani, anaweza kufikiri kwamba kuamini kwamba huyu Yesu ni Mwana wa Mungu ni hatari. Wengi wanafikiri swala zima la imani ni kama mtu kajitupa gizani bila ...
-
Kwa Tahadhari
Kuishi kwenye si rahisi siku zingine. Kuna mambo mengi yanakusanyikia juu ya ndoa ili ivunjike – mfano, ule uongo unaosema kwamba kupeana talaka ni kawaida, ni hiari ya mtu, ...
-
Je!, Watu Wanaweza Kukuamini?
Swali ninalokwenda kukuuliza labda litakusumbua, Je!,Wewe ni mwaminifu? Au tuulize swali lingine ambalo yamkini ni muhimu zaidi, je! Familia yako inaweza kukuamini?, ...
-
Kupanga Uelekeo
Najiuliza hivi, unapotathimini unatathmini afya ya familia yako kihisia na kiroho, unagundua nini? Unafurahi kwa hali yao au ni kitanzi kinachotokea machoni pako? Tulipokuwa ...
-
Kuvunja Pingu za Kale
Ni kitanzi kikubwa pale dhambi inarithiwa kizazi baada ya kizazi, Mtoto wa mlevi atakuwa na mwelekeo wa ulevi kuliko watoto wengine. Mtoto aliyedhulimiwa pia, akiwa mtu ...
-
Familia Kamilifu
Bila shaka umewahi kuwaza mara kwa mara: “Laiti familia yangu ingetengamaa kama familia zingine!” Najua umewahi kufikiri hivyo, kwa sababu bado tunaamini hadithi ile ya ...
-
Familia Iliyovurugika
Unaweza kuwasikiliza wahubiri kama tulivyoongea habari ya familia kamilifu ya kikristo na namna inavyopaswa kuwa. Lakini je!, Itakuaje kwa familia zilizovurugika? Itakuaje kwa ...
-
Maswala ya Familia
Itafikia wakati kila mmoja wetu atapaswa kuamua mwenyewe kama atamwamini Yesu na kumtumikia kama Bwana wake au kumkataa na kufuata njia yake mwenyewe. Hakuna njia ya katikati. ...
-
Kukaa Bila Kuoa au Kuolewa (2)
Leo ninataka kukushirikisha jambo la maana sana kuhusu wao wanaoendelea kukaa bila kuoa au kuolewa. Labda wewe si mmojawapo lakini bila shaka unafahamiana na mtu wa namna ...
-
Kukaa Bila Kuoa au Kuolewa (1)
Hata kama watu karibu wote wanafunga ndoa, si wote wanaendelea kudumu kwenye ndoa zao. Kinachonihuzunisha ni kwamba, wengine wanawaangalia na kujiuliza kama wana tatizo au ...
-
Mahusiano ya Wasiwasi
Ukichunguza dunia ilivyo leo, tukiwa na mitambo na vyombo vinavyoshikika mikononi na vyenye uwezo mkubwa kuzidi kompyuta kubwa za zamani, imekuwa rahisi sana watu kutokuwa ...
-
Kuachana kwa Talaka (3)
Swali lililopo ni hili, je! Mungu anaruhusu talaka? Ni mada yenye mvutano mkubwa.Makanisa mengi wanachukulia talaka kama dhambi isiyoweza kusamehewa wakifundisha watu kwamba ...
-
Kuachana kwa Talaka (2)
Mimi kama mtu aliyepitia maumivu ya talaka, nakwambia kwamba mtazamo wa jamii wa kisasa kuhusu ndoa unanishangaza sana, wakisema, “kinachopatikana kwa urahisi hupotea kwa ...
-
Kuachana kwa Talaka (1)
Uasherati na kupeana talaka siku hizi ni kama kawaida, watu wanafikiri kwamba haina shida, kwamba ni hiari ya mtu badala ya kuviona kuwa usaliti na kutenda mambo ya hiana. Lakini ...
-
Kutengana Bila Mwelekeo
Familia zetu ni muhimu sana kwenye maisha. Lakini familia nyingi zina matatizo kweli. Familia nyingi wanazo “ishu” nyingi tuseme. Pia, na ni huzuni kabisa kulisema, familia ...
-
Makosa Wamama Wanayofanya (2)
Mwanamke mgomvi ni kitu kilichochakaa kisichopendeza ingawa wanawake wengi wanachukia na kupinga kwamba si kweli. Ni sawa, wana haki kusema hivyo. Lakini hata hivyo, bado kuna ...
-
Makosa Wanawake Wanayofanya (1)
Mimi naona kama kosa kubwa la akina mama wanalofanya katika ndoa zao ni hili: wanapoanza kupata uzao, wanaweka wanaume zao kwenye nafasi ya tatu, nne au ya tano katika ngazi ya ...
-
Makosa Wanaume Wanayofanya (2)
Wanaume wengi sana wamehama kihisia kwenda mbali na familia zao – ni kama wamejiuzuru kwa nafasi ya kuwa mume na baba mzazi pia. Na hili ndilo kosa kubwa kuliko yote wanaume ...
-
Makosa Wanaume Wanayofanya (1)
Kusema ukweli, wanamume mara nyingi wanakuwa wakali kwenye familia zao. Sitanii! Kwasababu moja ama nyingine, hatutafakari yale familia zetu zinahitaji kwetu, kwahiyo ...
-
Watu Ambao Hawajakamilika
Hili ni swali linalosumbua. Ni yupi katika familia yako anayekusumbua sana? Si nilikwambia kwamba ni swali gumu! Usikwepe! Ni mume wako au mke wako?, ni mtoto ...
- Enjoying The Content? For the price of a cup of coffee each month, you can enable Christianityworks to reach 10,000+ people with a message about the love of Jesus!
-
Siyo Njia Rahisi
Sijui kama utaniruhusu nikikuulize swali sasa hivi? Familia yako inaendeleaje? Je! Mahusiano ya kifamilia yana kina gani? Yana nguvu kiasi gani? Kwasababu kusema ...
-
Kusudi Kubwa la Mungu
Mara nyingi tunawachukulia wanafamilia kikawaida tu. Wengi wetu tumekulia katika familia. Wengi tumeanza kujenga familia zetu. Lakini kuna wakati mambo hayaendi kama ...
-
Leta Tabia Yako Mbele za Bwana
Kuna ukweli wenye nguvu ambao haipaswi utuponyoke. Mungu anataka kutusaidia, wewe na mimi, ili tuweze kuishi kwenye ushindi ule Yesu alioupata kupitia kifo chake na ufufuo ...
-
Kustahilimi si Kukaa tu
Majaribu ya kutenda mabaya huwa yanatujia kila siku. Na tunaweza kushindwa kama wengi wanavyoshindwa au tunaweza kustahimili na kusimama imara. Sasa kwako wewe itakuwaje? ...
-
Uwezo wa Tabia Njema
Jambo lenye nguvu sana maishani mwetu – nguvu iletayo mema au mabaya – ni tabia tunazojizoesha (kwa wema) au tabia mbaya zinazotuangusha (ndani ya uovu). ...
-
Jiepushe na Tabia Hii Mbaya
Pale wewe na mimi tunapoweka tegemeo letu ndani ya sisi wenyewe, au ndani ya vipaji vyetu, tunaweza kujiamini kupita kiasi. Lakini mtu anapomtegemea Mungu, kwa kweli hawezi ...
-
Ulishike Sana Ungamo Lako
Kwa mtazamo nilio nao mimi, hakuna kazi nzuri kama kuwa mtu anayepeleka habari njema. Na leo si kwamba nina habari njema kwa ajili yako, yaani nina habari njema mno. Dua ...
-
Usiutupe Ujasiri Wako
Kuwa na ujasiri kunaweza kutuletea uwezo katika maisha yetu, ikiwa tunategemea yaliyo sahihi. Sasa katika mapambano ya maisha haya, acha nikuulize, Una ujasiri kiasi gani? Kama ...
-
Shauku ya Kubadilishwa
Kila mtu anatamani kuwa na maisha bora – kwa tafsiri yake anayoijua yeye. Lakini kwa watu wengi, kumekosekana kitu cha kizembea kinachosababisha wasipate kuishi maisha bora. ...
-
Kwa Hiyo, Usiogope
Je! Unamwamini Yesu? Kama unamwamini Yesu, basi imani yako ndani yake imekusudiwa kukupa ushindi. Ushindi dhidi ya dhambi yako na ushindi juu ya mazingira yako. Kwa ...
-
Chanzo cha Imani ni Kusikia
Kwanini watoto wanahitaji kutiwa moyo lakini pia kurudiwa na wazazi na walimu, mara kwa mara ili waweze kujitegemea na kuwa na matumaini ya namna watakavyoishi katika mfumo wa ...
-
Kutathmini Upya Wale Unaokuwa na Urafiki Nao
Haitakiwi imani yetu ndani ya Mungu, wewe na mimi, iwe kama mwezi unaopevuka na kupungua. Hapana. Kusudi lake Mungu ni kukuza imani yetu na kuiimarisha kupitia milima na ...
-
Usiruhusu Imani Yako Ififie
Je!,Umewahi kujikuta kwamba imani yako inaanza kupungua?, Mwanzoni, yaani zamani, ulikuwa unawaka moto kabisa kwa ajili ya Bwana. Lakini moto ule umefifia, umebaki kama kaa ...
-
Maisha Yenye Uwiano Mzuri
Kama mtu angekujia na kukupa ofa ya kuridhika, yaani kutoshelezeka na maisha yenye matunda na uwiano mzuri, je! Ungepokea ofa yake? Nadhani wengi tungeipokea. Ni kweli ...
-
Kwa Nini Watu Wanajichosha Hivi?
Mimi kama mtu anayekubali kwamba lazima tujitahidi kazini (kama ninavyofanya mimi mwenyewe!) nimegundua sasa kadiri ninavyozidi kuzeheka na kuongezeka busara, naona kama ...
-
Na Tazama …
Aliyeoa au aliyeolewa atakwambia kwamba kuna wakati mke au mme anafanya kitu ghafla ambacho mwenzie hakutazamia hata kidogo. Unakuta Ulidhani unamfahamu vizuri lakini kumbe! Tena ...
-
Hakuna Huduma Ndogo
Ninachokitaka mimi ni kuwa muwazi mbele yako. Muwazi na mkweli kabisa. Kwasababu, na mimi ni mtu mdhaifu kama wewe, mtu ambaye hajakamilika. Kwahiyo leo ni siku ...
-
Kuwaonekania Wenye Shida
Nadhani ninaweza kusema kwa uhakika kwamba, wewe na mimi, tuna watu tunaofahamiana nao, ambao sasa hivi wako wanapitia vipindi vigumu. Na mara nyingi, usibishe tafadhali, ...
-
Krismasi Mwezi wa Saba
Inategemeana mahali unapoishi, lakini swali ninaloenda kukuuliza labda litaonekana kuwa la tofauti kabisa. Je!, Umewahi kusherehekea Krismasi mwezi wa saba? Sitanii. ...
-
Maana Halisi ya Ufalme
Wakristo wanaongea sana kuhusu “Ufalme wa Mungu”; yaani wanautamka kwa urahisi. Sana, Lakini tutafakari kwanza. Hivi tunaelewa kabisa maana yake? Je!, Tuko tayari ...
-
Unabii – Je! Ni Kweli au Si Kweli?
Kuna watu wengi ninawasoma kwenye mtandao wakijidai wao kuwa ni mitume, manabii na kadhalika. Ndio, ni kweli hivyo ni vipawa Agano Jipya linavyotaja. Lakini vyote ni ...
-
Kuvumilia Tu … au Kushinda?
Katika yote yanayotokea ulimwenguni bila kutaja shughuli za kila siku, wengi wanavumilia tu, wakipambana na maisha. Lakini ingekuaje kama lengo la maisha ni zaidi ya ...
- Enjoying The Content? For the price of a cup of coffee each month, you can enable Christianityworks to reach 10,000+ people with a message about the love of Jesus!
-
Hisia Yako Kali, Wito Wako
Kama umewahi kujishughulisha na biashara ya matunda, kama mtu anayewajibika na kuzalisha matunda mema na kuyafikisha sokoni. Basi hiyo ndio kazi waliyoitiwa wafuasi wa Yesu. ...
-
Injili Haiwezi Kunyamazishwa
Kuna nguvu na mamlaka duniani ambazo zinatafuta kunyamazisha Injili, Habari Njema ya Yesu; kuwanyima watu wa Mungu wasipate nafasi ya kutangaza habari ya upendo ambao Mungu ...
-
Kubarikiwa Kupita Kiasi
Sijui kama unatarajia kupata baraka gani hivi karibuni kutoka kwenye mkono wa Mungu!, ulikuwa unamwomba nini? Ni kipi cha kwanza katika orodha ya mahitaji yako, hmm? ...
-
Turudie Mambo Kadhaa
When you’re travelling down a rocky road, when life is more down than up, the reality is that even the kindest and most encouraging things that someone has to say to you somehow ...
-
Hali Inayovunja Matumaini na Kukatisha Tamaa
I don’t know about you, but I get up out of bed each day hoping and believing for the best. A new day, new opportunities … but some days, things simply don’t work out that ...
-
Yote kwa Yesu
No matter who you are, where you live. or what your circumstances may be, there are always going to be some things that you just don’t want to do. And the more of those you ...
-
Mshukuruni Mungu!
Gratitude is an attitude that has a lot of positive benefits. In fact, studies show that grateful people are happier, healthier, and sleep better! So the question is then, are you ...
-
Mtego wa Mapokeo
Traditions have their upside and their downside. On the one hand, they provide a moral fabric to our behaviour within society … which is a positive thing. On the other hand, ...
-
Katika Kristo Tu
As social creatures, you and I need to develop both our independence and our interdependence – the ability to rely on ourselves, and the ability to cooperate with others. Makes ...
-
Visivyoweza Kutetemeshwa
Ukatili wa dunia hii dhidi ya imani ya Wakristo umeendelea tangu miaka elfu mbili. Lakini siku hizi uvamizi huo umefikia msisimko mkubwa sana, Wakristo wengi wakiuawa katika ...
-
Kilio cha Kuomba Msaada
Kazi mojawapo ya mzazi ni kulinda watoto wake. Na mimi kama mme, baba na sasa babu, ni wajibu ambao ninakubali kwa dhati kabisa. Sasa kwa nini mtu angefikiri kwamba ...
-
Bwana Asimame Upande Wako
Tukijaribu kuishi kila siku kwa kumheshimu Mungu tu na kumfuata Yesu popote pale anapotuongoza pamoja na kujiepusha na uovu unaoenezwa na dunia hii: Miaka iliyofuata kifo, ufufuo ...
-
Yesu Alikuja Ili …
Ninawiwa leo niongee na wewe kuhusu jinsi ulioweza kuridhiana na mambo madogo maishani mwako. Yaani, dhambi zile “ndogo-ndogo” ambazo unadhani kwamba hazina tatizo, zile ...
-
Kupanda na Kushuka
Sijui wewe unawaza nini, lakini mpango nilio nao kwa ajili ya maisha yangu ni kwamba niendelee shwari tu, nikiwa na siku kadhaa za kuchangamka zaidi, Je! Unaonaje, si mpango ...
-
Kuwa na Nguvu Zaidi
Lazima ukubali kwamba hata kama wewe ni mtu mwenye nguvu, bado sisi sote tunajisikia kuwa wanyonge – tukikosa nguvu ya kupambana na mambo maishani mwetu. Bila shaka hata wewe ...
-
Maneno Usingependa Kuyasikia
Ukosoaji haupendezi, unatonesha kabisa, unaumiza, ni kweli, mimi sijakamilika lakini sipendi kusikia watu wengine wananisema. Kuna kozi ya uongozi ninaifatilia siku hizi na ...
-
Onyo Kali
Nikwambie kinachonitisha: ni watu wanaojifariji wakijiona kuwa wema tu, wanaoishi kufuatana na “kanuni za kikristo” kwamba watakuwa salama Siku Za Hukumu. Mtazamo kama huo ...
-
Kiburi Huwa Kinaathiri
Kwa miaka mingi sasa, nimekutana na watu wenye akili, watu ambao wamefanikisha mambo yao kabisa. Sijui wewe? Watu wanaoweza kukamilisha mambo makuu kuliko wewe na mimi. ...
-
Amani Bora Sana
Kuna wakati maisha yetu ni kama mtu amefuliwa ndani ya mashine ya kufua nguo na hatimaye kuwekwa kwenye mashine inayokausha huku akizungushwa zungushwa hadi nguvu zake zote ...
-
Alama za Vidole
Ni huzuni kujilinganisha na watu wengine halafu hatimaye tunajionakama hatufai. Mimi sina akili, mimi sikimbii mbio, mimi sina sura nzuri, mimi sifanikishi mambo yangu kama ...
-
Usitapanye Uhuru Wako
Haya, ni tarehe 4 ya mwezi Julai. Hata uwe unaishi wapi kwenye dunia yetu, huwezi kukosa kufahamu kwamba huko Marekani ambayo ni nchi tajiri kuliko zote, ni siku ya kuadhimisha ...
-
Imani kwa Ajili ya Siku Zijazo
Je!, umewahi kuhisi kwamba ahadi za Mungu zimekukwepa? Kwa kweli unatamani kusimama imara kwenye ahadi zake, lakini kwa njia moja au nyingine, hazionekani kwako. Kama ...
- Enjoying The Content? For the price of a cup of coffee each month, you can enable Christianityworks to reach 10,000+ people with a message about the love of Jesus!
-
Kama Mfu … Lakini Mungu!
Kuna wakati Mungu anatupeleka mahali pasipowezekana, tukae pale kwa kipindi fulani katika “hali ya imani hatarishi”. Sasa mtu atastahimili mpaka lini? Ni lini itampasa kuamka ...
-
Kutoka Hema Hadi Mji
Kuna kosa kubwa tunalolifanya wewe na mimi, ni kufikiri kwamba mipango ya Mungu inatulenga sisi na starehe zetu na manufaa yetu tu. Ni kosa kubwa kwa sababu mipango yake ni ...
-
Lakini Sielewi!
Mzazi yeyote anafahamu namna inavyokatisha tamaa pale anapomwambia mtoto wake kufanya jambo fulani na yeye kuitika kwa kudai, “Kwa nini afanye?!” kama sharti kabla ya ...
-
Ni Swala la Moyoni
Labda umesikika wanavyosema kwamba pasipo imani haiwezikani kumpendeza Mungu. Ni kweli. Maneno hayo yametoka moja kwenye Neno la Mungu, yaani kwenye Waebrania ...
-
Fumbo Kubwa la Imani
Kutokana na nadharia ya sayansi wanasema, vitu vyote vilitokana na “mripuko mkubwa” uliotokea miaka ma-bilioni yaliyopita. Lakini ni nani aliyeandaa tukio lile na ni kipi ...
-
Imani Dhaifu, Inayoyumba-yumba Lakini Yenye Unyenyekevu
Rafiki yangu mpendwa, aitwaye Lowell Wertz, amekuwa sasa mishionari barani Afrika zaidi ya miaka 40. Jana nikulishirikisha changamoto yake ya kwanza wakati Mungu anataka awe ...
-
Kuthubutu Kujihatarisha kwa Imani
Mimi binafsi naona kama dini, au kuwa mfia fidi ni zoezi bandia tu. Mtu anapitia mazoezi yote, lakini mwishowe, haizai chochote. Sijui kama umeshashuhudia hayo? ...
-
Tayari Amedhibiti Kila Jambo
Tunaposhindwa kudhibiti hisia zetu – hasira, hofu, kujiona kwamba hatufai chochote kile– zinatunyima amani ya Mungu. Sasa tukikosa amani, tutajikuta hatarini kwa sababu ...
-
Kilicho Muhimu Zaidi
Kupanga yaliyo kipaumbele sio rahisi pale unapokuwa na majukumu mengi. Lazima utimize hiki na kile na kingine tena, kwahiyo ni pirika-pirika tu, mtu akizunguka kama kuku ...
-
Kusameheana
Hasira ni hisia inayoibuka mioyoni mwetu mara kwa mara pale tunapojisikia tumeonewa, sababu ni nyingi tu. Na huu ni muitikio wa kawaida kabisa. Hata kama ni kawaida ...
-
Maisha Yako Mapya Yanatakiwa Yawe …..
Pale mambo hayaendi kama ulivyotazamia, pale watu hawaendi sambamba na wewe ni rahisi kuwalaumu au kulaumu mazingira yako na hata kumlaumu Mungu. Ndivyo tulivyo ...
-
Martha au Mariamu
Mara nyingi huwa nina kazi za ziada, nikiwa bize sana kwa kutimiza wajibu wangu huwa inaniwia vigumu kutenga muda mzuri kukaa na Yesu kwa sababu ya uchovu mwingi. Je! Wewe ...
-
Hatia na Fadhaa
Kuendela kujisikia kwamba una hatia kwa sababu ya makosa uliyoyafanya zamani pamoja na kuwa na fadhaa kwa kufikiria itakavyokuwa mbeleni, ni kama pande mbili za sarafu moja. Na ...